Saba Saba: Maadhimisho Ya ‘Siku Ya Kiswahili Duniani’ Jijini Nairobi

Mwinyimsa alijuzwa kwangu mkereketwa mkubwa wa Kiswahili, Wambugu Yusuf. Wote wawili waliniuliza swali, “Prof, kuna mipango ipi kuhusu maadhimisho ya siku ya Kiswahili?” Niliwajibu nilivyowezeshwa.

Siku iliyofuata Henry Indindi, mwanafunzi wangu wa zamani kama vile Yusuf, aliniuliza swali lilo hilo na jana, Jackton Nyonje, alitaka kujua kama kuna mipango yoyote ya kuadhmisha. Inadhihirika kwangu kwamba kuna wengi wanaojiuliza swali hili na kwa sababu hiyo naona bora kutoa maelezo machache nilioyonayo hapa, japo kwa kifupi.

Uganda adopts Swahili as an official language

Uganda’s Cabinet has approved the implementation of an East African Community (EAC) directive to adopt Swahili as the official language, the Daily Monitor reported.

The directive was issued on June 10, 2022, during the closure of training exercises by the armed forces of member states, comprising Kenya, Rwanda, South Sudan, Burundi, Tanzania, Uganda and the Democratic Republic of Congo.

The directive is aimed at easing communication and promoting culture, trade and unity among the EAC member states.