Latest News & Announcements

Monday, September 11, 2023 - 17:51

University of Nairobi is offering masters scholarships for the 2023/2024 academic year. The applications are open only to applicants for the September 2023 intake.

General guidelines to applicants:

Read more
Wednesday, July 12, 2023 - 21:44

Waziri, katika Wizara ya Utalii, Wanyamapori na Turathi, Mhe. Peninah Malonza, leo hii amejumuika na wakaazi wa Mombasa ili kuadhimisha Siku ya Kiswahili duniani.

Maadhimisho hayo yalianza na msafara ulioanzia Mapemebeni, na kuelekea hadi kituo cha Utamaduni wa Waswahili, pembezoni

Read more
Wednesday, July 12, 2023 - 21:26

Kauli mbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani tarehe Saba, Mwezi Julai 2023 ni “Kiswahili kwa Amani na Ustawi.” Lengo kuu la maadhimisho haya ni kusaidia kunogesha matumizi ya lugha ya Kiswahili kama nguvu ya amani, ustawi na maendeleo endelevu ya binadamu sanjari na mchakato wa

Read more
Wednesday, July 12, 2023 - 21:06

Kiswahili kimempoteza Prof. Abdulaziz Nasir. Mengi zaidi kumhusu yameelezwa kwenye Makala ya mwenyekiti, Chuo Kikuu cha Nairobi, Kwenye Taifa Leo. 

 

Read more
Expiry Date