The Nairobi Innovation Week (NIW) started in 2015, and is an annual event celebrating…
Mwito wa Ikisiri
Tarehe Muhimu
Makataa: 30Juni 2020
Ukubali wa Ikisiri: 15 Julai 2020
…Prof. Abdulaziz akipokea zawadi kutoka kwa Prof. Kimani Njogu aliyempokeza kwa niaba ya CHAKITA na Twaweza Communications akisaidiana na Prof. Sangai Mohochi, Mwenyekiti wa CHAKITA Dkt. Kalandar Khan, Mkurugenzi wa RISSEA.
University of Nairobi is offering masters scholarships for the 2023/2024 academic year. The applications are open only to applicants for the September 2023 intake.
General guidelines to applicants:
Read moreWaziri, katika Wizara ya Utalii, Wanyamapori na Turathi, Mhe. Peninah Malonza, leo hii amejumuika na wakaazi wa Mombasa ili kuadhimisha Siku ya Kiswahili duniani.
Maadhimisho hayo yalianza na msafara ulioanzia Mapemebeni, na kuelekea hadi kituo cha Utamaduni wa Waswahili, pembezoni
Read moreKauli mbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani tarehe Saba, Mwezi Julai 2023 ni “Kiswahili kwa Amani na Ustawi.” Lengo kuu la maadhimisho haya ni kusaidia kunogesha matumizi ya lugha ya Kiswahili kama nguvu ya amani, ustawi na maendeleo endelevu ya binadamu sanjari na mchakato wa
Read moreKiswahili kimempoteza Prof. Abdulaziz Nasir. Mengi zaidi kumhusu yameelezwa kwenye Makala ya mwenyekiti, Chuo Kikuu cha Nairobi, Kwenye Taifa Leo.
Read more