Prof. Abdulaziz akipokea zawadi kutoka kwa Prof. Kimani Njogu aliyempokeza kwa niaba ya CHAKITA na Twaweza Communications akisaidiana na Prof. Sangai Mohochi, Mwenyekiti wa CHAKITA Dkt. Kalandar Khan, Mkurugenzi wa RISSEA.
Jumanne, Agosti 19, 2025
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Nairobi inaomboleza kifo cha Profesa John Hamu Habwe, msomi mashuhuri, mwandishi na mlezi wa kizazi cha wasomi wa Kiswahili ambaye alilihudumia Chuo kwa zaidi ya miongo mitatu kwa bidii na uadilifu.