Latest News & Announcements

Sunday, August 31, 2025 - 09:53

Jumanne, Agosti 19, 2025

Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Nairobi inaomboleza kifo cha Profesa John Hamu Habwe, msomi mashuhuri, mwandishi na mlezi wa kizazi cha wasomi wa Kiswahili ambaye alilihudumia Chuo kwa zaidi ya miongo mitatu kwa bidii na uadilifu.

Sunday, March 10, 2024 - 09:16

Wanaidara katika Kongamano la 24 CHAKITa lililofanyika Chuo Kikuu cha Sayansi Teknolojia cha Masinde Muliro Tarehe 7-8 Machi 2024. Kaulimbiu;

Kiswahili na Uchumi wa Kidijitali 

Sunday, March 10, 2024 - 09:09

Chansela, na  Balozi Gentiana Serbu wa Romania wakiwa katika picha ya pamoja baada ya hafla ya kuadimisha siku ya mama

Sunday, March 10, 2024 - 08:59

Prof. Iribe akipokelewa na makamu wa chansela  Prof Henry K. Kiplagat, wa Chuo Kikuu cha Kabarak ili kutoa wasilisho siku ya kuadimisha lugha za mama ulimwenguni