Swahili Attire

Swahili attire comprises of kofia and kanzu. Normally the Swahili men will put on these costumes during special festivals like the maulidi and the Lamu cultural festival. The Milad Un Nabi is a popular Swahili festival that has its apex in the Lamu Archipelago.

Ukuzaji wa Kiswahili Duniani(CHAUKIDU), Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, Disemba 2018

Kutoka kushoto ni Prof. Iribe wa Mwangi, Prof. Kyalo Wadi Wamitila, Prof. Rayya Timmamy, Dkt. Evans Mbuthia na Bi. Mary Ndung'u wakati wa Kongamano la Nne la Kimataifa la Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (Chaukidu) lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, kisiwani Unguja, mwezi Disemba 2018.