MKUTANO WA IDARA YA KISWAHILI ULIOFANYIKA KUPITIA MTANDAO TAREHE 6 APRILI 2020

Huu ni mkutano wa kwanza uliofanyika kupitia mtandaoni. Ajenda kuu zilikuwa ; mawasiliano kutoka kwa Mwenyekiti; Makaribisho ya walimu wapya;  Livu ya mwaka, Utahini wa tasnifu za uzamifu; Usimamizi wa tasnifu za uzamili na uzamifu; Ufundishaji wa wanafunzi wa MA, BA na BED na maswala mengineyo.

Hoja kuu kutoka kwa mkutano huo ni pamoja na; wwenyekiti kuhimiza walimu kutumia mtandao kuwafikia wanafunzi wanaofundishwa kutumia njia mbalimbali zilizomo k.v Zoom, WhatsApp na kadhalika.

Prof. Stephen Kiama Installed as Vice Chancellor

Prof. Stephen Kiama Gitahi has officially been installed as the 8th Vice Chancellor of the great University of Nairobi.

In a colorful function held at the Taifa Hall in main campus and steamed online to a global audience, Prof. Kiama took oath office with a clear vision of what lay ahead in terms of spearheading the university to global academic and research excellence.