Mwalimu Sanja's Field Work in Vanga, South Coast
Mr. Leonard Sanja is Kiswahili scholar based in the Department of Kiswahili at the University of Nairobi. He is currently a PhD candidate reseraching on Kivumba dialect.
Mr. Leonard Sanja is Kiswahili scholar based in the Department of Kiswahili at the University of Nairobi. He is currently a PhD candidate reseraching on Kivumba dialect.
Kongamano la 21 la Kimataifa la Chakita lenye kauli mbiu "Kiswahili na Maendeleo Endelevu" klilifanyika katika Chuo Kikuu cha Karatina mnamo Agosti 8-9, 2019. Idara ya Kiswahili katika Chuo Kikuu cha Nairobi iliwakilishwa ipasavyo!
Profesa Mohammed Hassan Abdulaziz alijumuika na wanaidara wengine katika hafla ya kumuaga alipostaafu mnamo tarehe 6 Agosti, 2019. Tunamtakia kila la heri wakati anapostaafu.Hata hivyo, wengi wangali wanamtegemea kwa ushauri wa kiusomi na mambo mengi tu! Prof. Mohammed Abdulaziz na Prof. Tom Olali walisomea Chuo Kikuu cha London, SOAS.