Prof. Mohamed H. Abdulaziz Atuzwa!

Prof. Abdulaziz akipokea zawadi kutoka kwa Prof. Kimani Njogu aliyempokeza kwa niaba ya CHAKITA na Twaweza Communications akisaidiana na Prof. Sangai Mohochi, Mwenyekiti wa CHAKITA Dkt. Kalandar Khan, Mkurugenzi wa RISSEA.