Latest News & Announcements

UNAMKUMBUKA HAYATI PROF.KEN WALIBORA KWA LIPI?

 

Tarehe: Jumamosi 10 Aprili,2021

Muda saa 10-1 jioni (4pm-7pm EAT)

wageni Rasmi prof.Abdilatiff Abdullah,Bi.Aidah Mutenyo.Dkt.Mosol Kandahar, Prof F.E.M.K Senkoro
Mratibu
 Bi.Phibbian Muthama
Prof.Leonard Muaka.

 Mwenyeji Writers Guild Kenya,Chaukidu.


Kiunganishi
https://howard.zoom.us/j/82158443516?pwd=SE5hT3hzM1YzcjlTRUo1VlIzSlJlQT09

: 821 5844 3516

Utambulisho: 71711808

KUBIDHAISHA KISWAHILI:

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara kuhusu Makubaliano ya Kibiashara baina ya Kenya na Uingereza - 

 

Je, Kiswahili kinaweza kunufaisha vipi kufuatia mchakato huu wa biashara?

 

 

 

                                           JAMHURI YA KENYA

               WIZARA YA VIWANDA, BIASHARA NA UKUAJI WA KIBIASHARA

          IDARA YA SERIKALI YA BIASHARA NA UKUAJI WA KIBIASHARA

ICC-K Christmas Production | THE KING IS BORN | 27th Dec 2020

https://m.youtube.com/watch?v=x-Zns3eEzBg&feature=youtu.be

 

Sanaa ya utendaji ni mojawapo ya kozi zinazofundishwa katika idara ya Kiswahili.Chuo kinasisitiza uwajibikaji wa uenezaji na ushirikiano na jamii ya nje ya Chuo.Kwa matlaba hii, wanaidara kwa mfano Prof.Tom Olali anaandika, kuelekeza, kupanga vipodozi na maleba kwenye michezo mbalimbali hususan za Noeli, pasaka na kadhalika.