• AFISA MKUU MTENDAJI WA TUME YA ELIMU YA
VYUO VIKUU, PROF. MWENDA NTARANGWI,
Siku Jumatano tarehe 2, Disemba, 2020, Idara ya Kiswahili kupitia kamati andalizi, iliandaa webina kusherehekea miaka 50 tangu Chuo Kikuu cha Nairobi kilipoanzishwa rasmi. Kauli Mbiu ya webina ilikuwa, “Kiswahili Ulimwenguni.”