The Nairobi Innovation Week (NIW) started in 2015, and is an annual event celebrating…
Mwito wa Ikisiri
Tarehe Muhimu
Makataa: 30Juni 2020
Ukubali wa Ikisiri: 15 Julai 2020
…Prof. Abdulaziz akipokea zawadi kutoka kwa Prof. Kimani Njogu aliyempokeza kwa niaba ya CHAKITA na Twaweza Communications akisaidiana na Prof. Sangai Mohochi, Mwenyekiti wa CHAKITA Dkt. Kalandar Khan, Mkurugenzi wa RISSEA.
Idara ya Kiswahili inashiriki kwa huzuni kubwa kifo cha Dkt. Basilio Gichobi Mungania, kilichotokea Alhamisi, 20 Februari 2026. Dkt. Mungania alichangia kwa kiasi kikubwa katika taaluma ya Kiswahili na elimu ya juu, na mchango wake utaendelea kukumbukwa na
Read moreJumanne, Agosti 19, 2025
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Nairobi inaomboleza kifo cha Profesa John Hamu Habwe, msomi mashuhuri, mwandishi na mlezi wa kizazi cha wasomi wa Kiswahili ambaye alilihudumia Chuo kwa zaidi ya miongo mitatu kwa bidii na uadilifu.
Wanaidara katika Kongamano la 24 CHAKITa lililofanyika Chuo Kikuu cha Sayansi Teknolojia cha Masinde Muliro Tarehe 7-8 Machi 2024. Kaulimbiu;
Kiswahili na Uchumi wa Kidijitali
Chansela, na Balozi Gentiana Serbu wa Romania wakiwa katika picha ya pamoja baada ya hafla ya kuadimisha siku ya mama