Renowned Kenyan Poet Abdalla Mwasimba Passes on!

The Swahili literary world was yet again thrown into mourning Wednesday, following the death of legendary poet Abdalla Mwasimba aged 83.

His death occurred a few months after Ken Walibora, Abdalla Shamte and Euphrase Kezilihabi.

Mwasimba, who for close to 30 years revised Swahili poems for Taifa Leo, had been suffering from low blood pressure and diabetes.

His youngest son, Mwasimba Abdallah told the Nation that the poet died in his sleep at his granddaughter’s residence in Kaloleni, Nairobi.

KONGAMANO LA 6 LA KIMATAIFA, CHUO KIKUU CHA PWANI KILIFI, KENYA

Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) kimeandaa kongamano la 6 la kimataifa katika Chuo Kikuu cha Pwani Kilifi, Kenya mnamo tarehe 15-17 Dis. 2020

Mda wa makataa ya ikisiri uliongezwa hadi Tarehe 30 Juni, 2020. Wapenzi na wasomi wa Kiswahili wanaombwa kutuma ikisiri kabla au kufikia tarehe ya makataa.

Taarifa zaidi kuhusu CHAUKIDU zimo katika kiambatisho.