KONGAMANO LA 6 LA KIMATAIFA, CHUO KIKUU CHA PWANI KILIFI, KENYA

Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) kimeandaa kongamano la 6 la kimataifa katika Chuo Kikuu cha Pwani Kilifi, Kenya mnamo tarehe 15-17 Dis. 2020

Mda wa makataa ya ikisiri uliongezwa hadi Tarehe 30 Juni, 2020. Wapenzi na wasomi wa Kiswahili wanaombwa kutuma ikisiri kabla au kufikia tarehe ya makataa.

Taarifa zaidi kuhusu CHAUKIDU zimo katika kiambatisho.