1
MKUTANO WA IDARA YA KISWAHILI ULIOFANYIKA KUPITIA MTANDAO TAREHE 30 AGOSTI 2020
Huu ni mkutano wa pili wa idara kufanyika kupitia mtandao na wa kufaulisha mno.
Agenda za mkutano;
Huu ni mkutano wa pili wa idara kufanyika kupitia mtandao na wa kufaulisha mno.
Agenda za mkutano;
Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) kimeandaa kongamano la 6 la kimataifa katika Chuo Kikuu cha Pwani Kilifi, Kenya mnamo tarehe 15-17 Dis. 2020
Mda wa makataa ya ikisiri uliongezwa hadi Tarehe 30 Juni, 2020. Wapenzi na wasomi wa Kiswahili wanaombwa kutuma ikisiri kabla au kufikia tarehe ya makataa.
Taarifa zaidi kuhusu CHAUKIDU zimo katika kiambatisho.
Mwito wa Ikisiri
Tarehe Muhimu
Makataa: 30Juni 2020
Ukubali wa Ikisiri: 15 Julai 2020
Washiriki kuthibitisha: 15 Sept.2020
Warsha: 15 Dis.2020
Kongamano: 16-17Dis.2020
Kwa habari zaidi, tazama posta iliyoambatishwa