0
Wahadhiri wetu Watafsiri Kanuni za Bunge la Kitaifa
Waadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi ni miongoni mwa wanajopo walioshiriki katika kutafsiri Kanuni za Kudumu za Bunge la Taifa kwa Kiswahili zilizozinduliwa na Rais Uhuru Kenyatta mnamo tarehe November 12, 2020.