Latest News & Announcements

Euphrase Kezilahabi Passes on!

 

Renowned Tanzanian academic and writer Professor Euphrase Kezilahabi, whose works were a staple in the

His 'Mayai Waziri wa Maradhi' short story was studied by secondary school students in Kenya between 2008 and 2010.

His other works include Rosa Mistika, Nagona, Mzingile, Dunia Uwanja wa Fujo (Novel), Dhifa (Poetry) and Kaptula la Marx (play),  and Gamba la Nyoka.

Kezilahabi was born in 1944 and worked as a lecturer at a university in Botswana.

Swahili Attire

Swahili attire comprises of kofia and kanzu. Normally the Swahili men will put on these costumes during special festivals like the maulidi and the Lamu cultural festival. The Milad Un Nabi is a popular Swahili festival that has its apex in the Lamu Archipelago.

Ukuzaji wa Kiswahili Duniani(CHAUKIDU), Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, Disemba 2018

Kutoka kushoto ni Prof. Iribe wa Mwangi, Prof. Kyalo Wadi Wamitila, Prof. Rayya Timmamy, Dkt. Evans Mbuthia na Bi. Mary Ndung'u wakati wa Kongamano la Nne la Kimataifa la Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (Chaukidu) lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar, kisiwani Unguja, mwezi Disemba 2018.

CLK 404: Kiswahili Oral Literature and Culture 2019 Coastal Tour with Prof.Tom Olali

Wanafunzi wa Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Nairobi wanaosomea kozi ya CLK 404: Kiswahili Oral Literature and Culture chini ya usimamizi wa Prof.Tom Olali wakipata mafunzo maalum ya moja kwa moja ya jinsi ya kutayarisha biriani ya nyama. Hapa wanaonyeshwa hatua hizo na Bi. Lulu Ali, Amira Msellem  na Dia Chuda kule Kibokoni, Mji wa Kale.