Latest News & Announcements

Hongera Prof. Iribe

On September 12, 2023, Prof Iribe mwangi was admitted as a member of Kenya National Academy of Sciences. The department wish to congratulate him on this achievement. After his induction, he will be awarded a membership certificate and thereafter allowed to use the designation MKNAS alongside his other tittles of honour

Idara na Ushirikiano na mataifa mengine ya Kiafrika katika kukikuza Kiswahili.

Hivi, karibuni Dkt. Mungania aliiwakilisha Idara ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Nairobi
katika: UZINDUZI WA PROGRAMU YA KISWAHILI, CHUO KIKUU CHA CAPE
TOWN (UCT) tarehe 5, Oktoba 2023 kwa mwaliko wa chuo hicho. Hata hivyo, kwa uzalndo wake na hamu ya kukikuza Kiswahili, aligharamia safari yake. Tunajivunia kuwa na wana Idara ngangari.