Kongamano la CHAWAKAMA Chuka Univeristy.
Mkuu wa kitengo cha Kiswahili Chuo Kikuu cha Chuka akitoa maelekezo kuhusu Kongamano
- Read more about Kongamano la CHAWAKAMA Chuka Univeristy.
- Log in to post comments
Mkuu wa kitengo cha Kiswahili Chuo Kikuu cha Chuka akitoa maelekezo kuhusu Kongamano
Wanafunzi wa Chuo kikuu cha Nairobi wakiwasilisha mada yao
Wanafunzi wa CHAKINA walihudhuria kongamano la CHAWAKAMA katika chuo kikuu cha Chuka Nov. 2023 . Walezi wao ni Prof Mbuthia na Dkt Mary Ndung'u
Dkt. Jerono aliwakilisha idara kwenye kwenye Kongamano la Language Association of Eastern Africa conference at Makerere Univ on 15-16 Aug 2023
On September 12, 2023, Prof Iribe mwangi was admitted as a member of Kenya National Academy of Sciences. The department wish to congratulate him on this achievement. After his induction, he will be awarded a membership certificate and thereafter allowed to use the designation MKNAS alongside his other tittles of honour
Venue: University of Nairobi Towers, Main Campus, Harry Thuku Road, Nairobi, Kenya
(Hosted by: Department of Linguistics and Languages, Faculty of Arts and Social Sciences, University of Nairobi, Kenya)
Conference dates: August 5 – 9, 2024
Aim and Scope
Wanna Idara wanazidi kung'ara. Prof. Mbatia anazindua tamthilia mpya kwa ajili ya Gredi ya nane mtaala mpya. Mada ya Tamthilia hiyo ni; Maisha Mapya. Idara inamhongera sana Prof Mwenda Mbatia kwa uzinduzi huo.
Hivi, karibuni Dkt. Mungania aliiwakilisha Idara ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Nairobi
katika: UZINDUZI WA PROGRAMU YA KISWAHILI, CHUO KIKUU CHA CAPE
TOWN (UCT) tarehe 5, Oktoba 2023 kwa mwaliko wa chuo hicho. Hata hivyo, kwa uzalndo wake na hamu ya kukikuza Kiswahili, aligharamia safari yake. Tunajivunia kuwa na wana Idara ngangari.
Idara ilifanya vyema sana katika machapisho mwaka wa 2023. Baadhi ya wana Idara waliofanikisha kitengo hiki ni pamoja na;
1. Dkt. Jefwa Mweri
Kwa mara nyingine, Idara iliwakilishwa vyema katika semina na uchapishaji.