Kama sehemu ya maadhimisho ya jubilee ya miaka hamsini, idara ya Kiswahili kupitia kamati andalizi imeandaa Webina yenye mada kuu; Kiswahili Ulimwenguni.
Hafla hiyo itafanyika Desemba 2, 2020 kwanzia 2.00 mchana hadi 5.30 jioni. Mfunguzi wa hafla hiyo ni Makamu mkuu wa Chuo, Profesa Stephen Kiama. Makala Elekezi yatajadiliwa na Prof. Mwenda Ntarangwe, kutoka Tume ya Elimu ya Vyuo Vikuu. Mwasilishaji wa makala maalum ni Prof. Ngugi wa Thiong’o, Chuo Kikuu cha California, Irvine.
Nchi ya Kenya imekuwa mbioni kujiandaa kibiashara katika siku za usoni. Ari ya kujiandaa kibiashara imechocewa na mambo mawili muhimu: Kwanza, Sheria ya Ukuaji na Fursa Barani Afrika (AGOA), mpango wa upendeleo, unafika kikomo mwisho wa mwaka 2025. Kwa sababu hii, nchi ya Kenya inapanga mikakati yake ya biashara baada ya 2025. Hata hivyo, mazungumzo yake yanakaribisha nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Waadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi ni miongoni mwa wanajopo walioshiriki katika kutafsiri Kanuni za Kudumu za Bunge la Taifa kwa Kiswahili zilizozinduliwa na Rais Uhuru Kenyatta mnamo tarehe November 12, 2020.
There is no doubt that Kiswahili has gained ground as a language of choice by millions of people in the world. Kiswahili is attaining a prominent status as a Global Language. Check out this:
Prof. Iribe Mwangi of the Department of Kiswahili, University of Nairobi and Prof. Mungai Mutonya of Washington University in St. Louis have won the prestigious Carnegie African Diaspora Fellowship.
The Swahili literary world was yet again thrown into mourning Wednesday, following the death of legendary poet Abdalla Mwasimba aged 83.
His death occurred a few months after Ken Walibora, Abdalla Shamte and Euphrase Kezilihabi.
Mwasimba, who for close to 30 years revised Swahili poems for Taifa Leo, had been suffering from low blood pressure and diabetes.
His youngest son, Mwasimba Abdallah told the Nation that the poet died in his sleep at his granddaughter’s residence in Kaloleni, Nairobi.
Huu ni mkutano wa pili wa idara kufanyika kupitia mtandao na wa kufaulisha mno.
Agenda za mkutano;
Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) kimeandaa kongamano la 6 la kimataifa katika Chuo Kikuu cha Pwani Kilifi, Kenya mnamo tarehe 15-17 Dis. 2020
Mda wa makataa ya ikisiri uliongezwa hadi Tarehe 30 Juni, 2020. Wapenzi na wasomi wa Kiswahili wanaombwa kutuma ikisiri kabla au kufikia tarehe ya makataa.
Taarifa zaidi kuhusu CHAUKIDU zimo katika kiambatisho.