Prof.Olali and Prof.Timammy with CLK 404 students at Gede Ruins, Kilifi County
Prof.Olali and Prof.Timammy with CLK 404 students at Gede Ruins, Kilifi County
Prof.Olali and Prof.Timammy with CLK 404 students at Gede Ruins, Kilifi County
Kongamano la CHAUKIDU linafanyika leo tarehe 15 Disemba hadi Tarehe 17 Disemba. Wadhiri waliosafiri kwa ajili ya kushiriki kongamano hilo ni pamoja na : Prof Rayya, Prof. Iribe, Prof. Mbuthia, Prof. Wamitila, Dkt. Ndung'o, Dkt. Sanja, Mwal. Watuha na Mwl. Judy. Natumai wataweza kujifunza mengi.
Prof Rayya aliwasilisha kwenye jukwaa la kimataifa Ujerumani kwenye Baraza la Kiswahili la Berlin (BALAKI-BE) la tarehe 11 Disemba 2023
BARAZA LA KISWAHILI LA ZANZIBAR (BAKIZA)
Kiswahili kinaendelea kuenea kwa kasi.
Wanafunzi wetu watatu wa CLK 401: Public Speaking and Speech Writing in Kiswahili Maena, Abigael Malesi na Ruth Kamene walipata ufadhili wa kuhudhuria warsha ya "Speaking Confidence" katika "Nairobi Oublic Speaking High Tea" pale Gem Suites, Riverside Drive tarehe 1 Desemba, 2023.Kila mshiriki alilipa 45k.Prof.Tom Olali aliweza kupata ufadhili wa wanafunzi 10.
Binadamu anaweza kuchagua kuwa mwema ama mui kutegemea hulka yake. Hata hivyo, mazingira pia huwa na athari katika kukuza hulka ya mtu. Ni uteuzi
Mradi huu uliasisiwa mwaka 2020 chini ya ufadhili wa Carnegie African Diaspora Fellowship Program (CADFP). Tuzo ya CADFP ilimwezesha Profesa Mungai Mutonya wa Chuo Kikuu cha Washington University Mjini St. Louis na mwana-CADFP mwenzake, Profesa Iribe Mwangi, aliye Mwenyekiti wa Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN), kubuni mikakati mwafaka ya kiutafiti inayoendeleza mradi hadi sasa. Tuzo ya CADFP 2022 iliongezea ushirikiano wa kiutafiti na kuwezesha mradi kupiga hatua muhimu.
Prof Evans Mbuthia na Dkt Mary Ndungu CHAWAKAMA -Chuka University
Walezi wa vyama vya Kiswahili akiwemo Dr Sophia Jeptoo ambaye alikuwa mwanafunzi wetu wa zamani.